Thursday 27 November 2014

VAA SILAHA ZA VITA MKRISTO

Silaha hutengenezwa wakati wa amani japo hutumika wakati wavita
Wakristo wakati wa amani hawaombi ila mambo yakigeuka kidogo hufunga nakuomba
Wakati unazama si wakati wakujifunza kuogelea
Unapaswa kujifunza kabla
Fanya maazimio na Mungu wako siku za amani
Simama kwenye zamu yako kikamilifu
Mtafute Mungu kwa bidii Mith 8:17
Andaa na uvae silaha sasa Efe 6:11
Kumbusha wapendwa japo 15 maana sms za utani unatuma sana
Leo tuma hii takatifu,
Mungu akubariki..

No comments:

Post a Comment