Kumekuwa na wimbi kubwa sana la waimbaji wakike wa nyimbo za
injili,kila siku kwa wastani kuna waimbaji kumi wapya kabisa wanatambulishwa
kwa njia mbalimbali aidha redioni,kwenye tv,magazetini,majaridani hata
mitandaoni.
Wimbi hili la ongezeko la waimbaji wa kike haliendani na
utoaji wa albamu. Katika hili kuna mijadala mbalimbali juu ya kwanini waimbaji
wa kike wengi hawatoi albamu zao na hizi ndio baadhi ya sababu zinazochangia: