Friday 10 November 2017

CHANGAMOTO ZA WAIMBAJI WA KIKE WA NYIMBO ZA INJILI


Kumekuwa na wimbi kubwa sana la waimbaji wakike wa nyimbo za injili,kila siku kwa wastani kuna waimbaji kumi wapya kabisa wanatambulishwa kwa njia mbalimbali aidha redioni,kwenye tv,magazetini,majaridani hata mitandaoni.
Wimbi hili la ongezeko la waimbaji wa kike haliendani na utoaji wa albamu. Katika hili kuna mijadala mbalimbali juu ya kwanini waimbaji wa kike wengi hawatoi albamu zao na hizi ndio baadhi ya sababu zinazochangia: